Mtoto amfikisha Mahakamani Baba yake akidai urithi

Mzee Khalid Segereje (80), alipofika Mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi aliyofunguliwa na mtoto wake

Katika tukio ambalo sio la kawaida kwa mila na tamaduni zetu, mzee wa miaka 80 aitwaje Khalid Segereje Mkazi wa kijiji cha Mwamgongo mkoani Kigoma amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Kigoma na mtoto wake wa kumzaa ambaye anadai ampatie urithi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS