Yanga kumfungulia mashtaka Asukile wa TZ Prisons

Msemaji wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli (kushoto) akiwa na Mkuu wa uwekezaji wa GSM kwenye klabu hiyo, Eng.Hersi Said (kulia).

Afisa Habari na mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amesema uongozi wa klabu hiyo utamfungulia mashitaka nahodha wa klabu ya TZ Prisons, Benjamin Asukile kwa kutoa tuhuma nzito akidai baadhi ya watu wa Yanga walitaka kutoka rushwa ili kununua mchezo wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS