Mwamuzi Msakila afungiwa, Ibrahim Ame naye yamkuta

Mlinzi wa kati wa Simba, Ibrahim Ame akiwa mazoezini.

Kamati ya Uendeshwaji na Usimamizi wa ligi kuu nchini imemuondoa kwenye orodha ya waamuzi, mwamuzi msaidizi Godfrey Msakila kwenye mizunguko mitatu baada yakushindwa kuumudu mchezo wa Gwambina dhidi ya Simba uliomalizika kwa Simba kupata ushindi wa bao 1-0.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS