"Mh. Spika umewaletea wagogo heshima"- Shigongo

Kushoto ni mbunge wa Buchosa Eric Shigongo na kulia ni Spika wa Bunge la 12 Job Ndugai

Mbunge wa jimbo la Buchosa mkoani Mwanza Eric Shigongo, amempongeza kwa nafasi aliyonayo Spika wa Bunge Job Ndugai, kwa kuleta heshima kwa kabila lake la wagogo kwani hapo awali kazi yao ilikuwa ni kuuza maji kando ya barabara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS