Kane awatosha japo Spurs fainali ya Carabao

Kipande cha picha kushoto, kinaonesha namna Harry Kane alivyopata maumivu kwenye kifundo chake cha mguu wa kulia baada ya kuangukiwa na Richarlson.

Klabu ya Tottenham Hotsapurs inataraji kucheza dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa fainali ya kombe la Carabao saa 12:30 jioni ya leo Aprili 25, 2021 kwenye dimba la Wembley huku wakiwa hawana uhakika kama nahodha wake Harry Kane atakuwa sehemu ya mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS