Yanga yapania kufanya kweli
Afisa Habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amesema, Yanga wanataraji kufanya kweli na kuibuka na ushindi kwenye mchezo wake wa VPL dhidi ya klabu ya Biashara United Mara utakaochezwa saa 1:00 usiku kwenye dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam.