Yanga yapania kufanya kweli

Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakipongezana baada ya kupata bao kwenye moja ya mchezo wa VPL mwaka huu.

Afisa Habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amesema, Yanga wanataraji kufanya kweli na kuibuka na ushindi kwenye mchezo wake wa VPL dhidi ya klabu ya Biashara United Mara utakaochezwa saa 1:00 usiku kwenye dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS