Nyota kibao wa Manchester United kukosekana leo

Nahodha na mlinzi wa Manchester United, Harry Maguire (kushoto) na mshambuliaji Marcus Rashford (kulia).

Klabu ya Manchester United ya England inatazamiwa kuwakosa nyota wake kadhaa wa kikosi cha kwanza kutokana na sababu mbalimbali watakaposhuka dimbasaa 4:00 usiku wa leo Aprili 14,2021 kucheza dhidi ya Granada kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya ligi ya Europa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS