Klopp atoa neno kuhusu kupindua meza.

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp (kushoto) na kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane (kulia).

Majogoo wa jiji, klabu ya Liverpool wanakibarua kizito cha kupindua matokeo kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid saa 4:00 usiku wa leo Aprili 14, 2021 baada ya kufungwa mabao 3-2 kwenye mchezo mkondo wa kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS