Meneja wa Simba: Tuliyojiwekea yametimia!
Meneja wa kikosi cha wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika, klabu ya Simba, Meneja Patrick Rweyemamu amesema wanashukuru Mungu mipango waliyojiwekea yote imetimia kwenye upande wa michuano hiyo mikubwa afrika.