Guardiola amvulia kofia Bellingham
Kocha wa Manchester City,Pep Guardiola amemvulia kofia kiungo kinda wa klabu ya Borrusia Dortmund, Jude Bellingham mwenye umri wa miaka 17 kwa kuonesha uwezo mkubwa wa kusakata kabumbu ilhali akiwa na umri mdogo tena kwenye michuano ya klabu bingwa barani Ulaya usiku wa jana April 14, 2021