Mkuu wa mkoa Shinyanga kuhusu mauaji ya vikongwe

Baadhi ya washiriki wa kikao cha Championi wa kutokomeza mimba na ndoa za utotoni Mkoani Shinyanga kilichofanyika jana mkoani umo.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amesema Mkoa wa Shinyanga hauna tena mauaji ya vikongwe kutokana na juhudi kubwa zilizofanywa na vyombo vya vya ulinzi na usalama zilizofanikisha kuyakamata makundi ya mapanga yaliyokuwa yanatekeleza mauaji hayo Mkoani Shinyanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS