Kiswahili kutumiwa na mawaziri wa nchi 19

Waziri wa Madini Doto Biteko akizungumza na Wanahabari wakati akifunga Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Nchi za Afrika Zinazozalisha Madini ya Almasi (ADPA) uliofanyika kwa Njia ya Video tarehe 8 Aprili, 2021 Jijini Dodoma.

Waziri wa Madini Doto Biteko amesema Kiswahili kimekubalika kuwa moja ya Lugha ya Mawasiliano zitakazotumika katika Umoja wa nchi zinazozalisha madini ya Almasi Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS