Waziri wa Madini Doto Biteko akizungumza na Wanahabari wakati akifunga Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Nchi za Afrika Zinazozalisha Madini ya Almasi (ADPA) uliofanyika kwa Njia ya Video tarehe 8 Aprili, 2021 Jijini Dodoma.
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema Kiswahili kimekubalika kuwa moja ya Lugha ya Mawasiliano zitakazotumika katika Umoja wa nchi zinazozalisha madini ya Almasi Afrika.