Tamko la Simba dhidi ya Al Ahly kesho

Afisa Mtendaji wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez.

Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez amesema licha ya kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika, lakini mchezo wao wa kesho Aprili 9, 2021 dhidi ya Al Ahly ya Misri utakuwa ni wa kupambana kupata matokeo mazuri ili kulinda heshima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS