Rafael Nadal akishangilia taji lake la michuano ya wazi ya Ufaransa alilotwaa mwaka jana.
Ufunguzi wa michuano ya tenisi ya wazi ya Ufaransa umeahirishwa kwa wiki moja ikiwa ni matumaini kwamba watazamaji zaidi wataruhusiwa kuhudhuria kushuhudia michuano hiyo.