Inter Milan yakaribia ubingwa wa Serie A

Mfungaji bora wa pili katika Serie A, Romelu Lukaku akishangilia bao lake la 20 msimu huu.

Klabu ya Inter Milan inakaribia kutwaa ubingwa wake wa kwanza wa ligi kuu ya Italia tangu mwaka 2010,baada ya usiku wa kuamkia leo kuibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Sassoulo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS