Spika apiga kijembe Yanga, Tarimba akipokea

Spika Job Ndugai na Mbunge Abbas Tarimba

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea leo Aprili 8, 2021, likiongozwa na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai ambaye katika kipindi cha maswali na majibu alitupa kijembe kwa mbunge wa Kinondoni Abbas Tarimba kuhusu ushindi wa Simba SC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS