Lulu Diva amshangaa Ben Pol kudai talaka kwa Mkewe

Kulia ni msanii Lulu Diva, kushoto ni Ben Pol na mkewe Anerlisa Muigai

Bossbaby wa BongoFleva Lulu Diva amesema mapenzi hayana adabu kwa sababu sasa hivi yupo single na anatamani kuingia kwenye mahusiano ila ameshangaa Ben Pol kudai talaka ya kutaka kutoka kwenye mahusiano ya ndoa na Mkewe Anerlisa Muigai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS