Waziri Mkuu awashukuru watanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewashukuru Watanzania wote kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wa hali ya juu wakati wa kutangazwa na kipindi chote cha maombolezo ya msiba hadi mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS