Bango moja kuondoka na Mkurugenzi/Mkuu wa Wilaya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (kulia), kushoto ni moja ya bango lenye kero.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya viongozi wa ngazi za chini kushindwa kutatua kero za wananchi hadi viongozi wa juu watembelee maeneo yao na kukutana na kero ambazo zingeweza kumalizwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS