Simba kufuta uteja kwenye ardhi ya Misri
Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika Simba Sc, wataondoka nchini leo Saa 9:25 Alasiri kueleka nchini Misri tayari kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Al Ahly utakao chezwa Aprili 9, 2021.