Simba kufuta uteja kwenye ardhi ya Misri

Wachezaji wa Simba SC

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika Simba Sc, wataondoka nchini leo Saa 9:25 Alasiri kueleka nchini Misri tayari kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Al Ahly utakao chezwa Aprili 9, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS