"Mimi bado mdogo, nina miaka 19" - Anjella

Msanii Anjella kutoka lebo ya Konde Gang

First Lady wa lebo ya Konde Gang Anjella amesema yeye bado ni mtoto mdogo sana ndio kwanza ana umri wa miaka 19 hivyo hataweza kuchanganya mapenzi na kazi kwa wakati mmoja kwani anahisi itamuharibia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS