"Na mimi nifunguliwe jamani" - Gigy Money
Msanii wa BongoFleva na filamu hapa nchini Gigy Money ameomba kufunguliwa adhabu yake ya miezi 6 baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kusema Vyombo vya Habari vilivyofungwa vifunguliwe ila wafuate sheria na miongozo ya Serikali.