"Na mimi nifunguliwe jamani" - Gigy Money

Msanii Gigy Money

Msanii wa BongoFleva na filamu hapa nchini Gigy Money ameomba kufunguliwa adhabu yake ya miezi 6 baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kusema Vyombo vya Habari vilivyofungwa vifunguliwe ila wafuate sheria na miongozo ya Serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS