Raiola ajibia kuhusu kupokea malipo ya Haaland
Wakala wa mchezaji Erling Haaland, Mino Raiola amekanusha uvumi unaoenea kuwa amepokea Euro milioni 40 ambazo ni sawa na bilioni 108 na zaidi ya milioni 954 za kitanzania pamoja na baba wa mchezaji huyo Alfe-Inge Halaand kama sehemu ya makubaliano na Barcelona kumsajili Haaland.