De Ligt ndani ya majuto makubwa Juventus

Beki De Ligt wa Juventus akiwa ameshika kichwa aamini kinachoendelea katika moja ya mechi ya Serie A

Beki wa kati wa Juventus Matthijs De Ligt amesema anajuta kusaini Juventus na kuacha timu nyingine mbalimbali kubwa zilizo muhitaji zikiwemo Manchester United na Barcelona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS