Mwanamke amshambulia Polisi kwa kumng'oa sikio

Gari la Polisi nchini Kenya

Afisa mmoja wa Polisi huko nchini Kenya ameshambuliwa na mwanamke kutoka eneo la  Lang'ata Jijini Nariobi, kwa kung'atwa hadi kutolewa sikio lake wakati wa purukushani kati yake na mwanamke huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS