Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC Mohammed Dewji
Kocha wa AS Vita Florent Ibenge amekiri kuwa kwasasa vilabu vya Tanzania vimeimarika kifedha ndio maana vinaweza kusajili wachezaji kutoka DR Congo kwenye vilabu vikubwa kama TP Mazembe na AS Vita.