Dkt.Mpango atembelea kituo cha Huruma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akifurahia jambo na Mtoto anaelelewa na kutunzwa katika Kituo cha Huruma Missionary Sisters of Charity Hombolo Dodoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amelishukuru Shirika la Teresia wa Mtoto Yesu lenye Makao Makuu yake Nchini india kwa kazi nzuri wanayoifanya kuisaidia Tanzania  katika kazi ya kuwatunza Watoto Yatima, Wazee na Watu wenye Mahitaji maalUM.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS