Fundi afa kwa shoti akichomelea

Mkazi wa Mtaa wa Kazaroho, Kata ya Mbugani katika Manispaa ya Tabora, Salumu Madinda amepoteza maisha papo hapo baada ya kupigwa na shoti  ya umeme wakati akichomelea sehemu iliyopasuka kwenye bodi la gari kwa kutumia mtambo wa kuchomelea (welding machine).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS