Tambo za Matola na Bocco dhidi ya AS VITA Kesho

Kocha msaidizi wa klabu ya Simba, Selemani Matola.

Kocha msaidizi wa klabu ya Simba, Selemani Matola amesema siku ya kesho ya tarehe 3 April 2021 ni  lazima wapate matokeo watakaposhuka kwenye dimba la mkapa saa 10:00 jioni kupepetuana na klabu ya AS Vita ya Jamhuri ya DR Congo kwenye mchezo wa mzunguko wa tano wa klabu bingwa Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS