Mashabiki elfu 10, kuishuhudia Simba na AS Vita
Klabu ya Simba imethibitisha kuwa mashabiki Elfu kumi wataruhusiwa kuingia uwanjani kuushuhudia mchezo wao wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya AS Vitala ya Kongo, mchezo utakao chezwa Aprili 3, 2021, katika dimba la Mkapa Dar es salaam, mchezo huu utachezwa Saa 10:00.