Mashabiki elfu 10, kuishuhudia Simba na AS Vita

Mashabiki wa Simba SC

Klabu ya Simba imethibitisha kuwa mashabiki Elfu kumi wataruhusiwa kuingia uwanjani kuushuhudia mchezo wao wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya AS Vitala ya Kongo, mchezo utakao chezwa Aprili 3, 2021, katika dimba la Mkapa Dar es salaam, mchezo huu utachezwa Saa 10:00.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS