''Tutapambana hadi nukta ya mwisho'' - Giggs
Nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi kwa mchezo wa soka la ufukweni 'beach soccer' Ishimwe Giggs amejinasibu kuifunga timu ya Tanzania katika mchezo wa pili wa marudiano unaotizamiwa kuchezwa tarehe 3/04/2021 baaada ya ule wa kwanza uliochezwa Jumanne hii kumalizika kwa kufugwa 8-3.