Mkalimani afunguka "Niliongea mengi mmeliona lile"
Mkalimani Matungwa Mutatina aliyezua gumzo mitandaoni siku ya kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, amesema kilichomtokea sio kushindwa kutafsiri maneno bali ni matatizo ya kiufundi.