"Pasaka sio kula pilau" - Askofu Wiliam Mwamalanga
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maadili, Amani na Haki za Binaadamu kwa Jamii ya Viongozi wa Dini, Askofu Wiliam Mwamalanga amesema kusheherkea siku ya Pasaka sio kula pilau na ulevi bali ni siku ya kutulia na kujifunza kutoka kwa Mungu.