AFCON haijamuacha salama kocha Bafana Bafana

Aliyekuwa kocha wa Bafana Bafana Molefi Ntseki

Shirikisho la soka Africa ya kusini 'SAFA' limemfuta kazi aliyekuwa kocha wake wa timu ya taifa Bafana Bafana Molefi Ntseki baada ya kushindwa kufuzu michuano ijayo ya AFCON inayotazamiwa kufanyika mwaka 2022 nchini Cameroon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS