Simba yatinga kibabe robo fainali ligi ya mabingwa

Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya kufunga bao

Klabu ya Simba SC imefanikiwa kufuzu hatuaya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Afrika, baada kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya klabu ya AS Vital ya Kongo, lakini pia mabingwa hao wa Tanznaia wamejihakikishia nafasi ya kumaliza vinara wa kundi A baada ya kufikisha alama 13.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS