Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, na kulia ni aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Bashiru Ally
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango na kisha kufanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri.