Corona, kikwazo kwa Chelsea ligi ya mabingwa ulaya
Michezo miliwi ya ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya robo fainali kati ya FC Porto ya Ureno na Chelsea ya England itachezwa nchini Hispania katika Dimba la Ramon Sanchez-Pizjuan ambao ni uwanja wa klabu ya Sevilla , shirikisho la soka barani ulaya UEFA limethibitisha.