Chanzo cha Harmorapa kumwaga machozi kisa Alikiba
Ni 'Headlines' za msanii wa BongoFleva Harmorapa ambaye amesema kukutana na Alikiba imekuwa kama ndoto kwake na ilimfanya atoe machozi kwa sababu hakuamini kama Alikiba ni shabiki yake na anamfuatilia.