"Wananiita mtoto wa Magufuli" - Sholo Mwamba
Msanii wa muziki wa Singeli Sholo Mwamba amesema sasa hivi akitembea mtaani watu wanamwita jina la mtoto wa Magufuli na hilo limekuja baada ya kumfanya aliyekuwa Rais huyo acheze wimbo wake kipindi cha Kampeni mwaka 2020.