Mabeyo aliachiwa dokezo na Magufuli kabla ya kifo
Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo, amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan, kukutana naye ofisini kwake ili aweze kumuambia dokezo alilodokezwa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli.