"Nisamehe huko ulipo" - Msanii TID 

Kulia ni aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii TID

Ikiwa leo ni siku ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, msanii wa BongoFleva TID amemuomba msamaha Hayati Magufuli kwa kushindwa kufika kwenye msiba wake Wilayani Chato Mkoani Geita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS