Kauli ya Zitto kabla ya Magufuli kuzikwa

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, leo ametoa waraka wake wa kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, ambapo pamoja na mambo mengine amemsifu kwa namna ambavyo alijitahidi kujenga nchi kitendo ambacho kila mmoja anamsifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS