Juventus yaweka wazi hatma ya Ronaldo

Nyota wa Juventus, Cristiano Ronaldo.

Makamu wa rais wa klabu ya Juventus ya Italia, Pavel Nedved amesema hawana mpango wa kuachana na nyota wake Cristiano Ronaldo msimu huu na wanataraji nyota huyo ataendelea kuwepo klabuni hapo kwa mwaka mmoja zaidi hadi kufikia mwisho wa mkataba wake mwaka 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS