Mo Salah homa ya jiji la Nairobi

Mo Salah akishangilia moja ya magoli aliyofunga

Mshambuliaji nyota wa Liverpool Mohamed Salah ni moja ya wachezaji wa Misri waliotua nchini Kenya, wakiwa na timu ya taifa ya nchi hiyo mahususi kwa mchezo wa kufuzu michuano ya AFCON inayotarajiwa kuchezwa kesho tarehe 25/03/2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS