Mo Salah homa ya jiji la Nairobi
Mshambuliaji nyota wa Liverpool Mohamed Salah ni moja ya wachezaji wa Misri waliotua nchini Kenya, wakiwa na timu ya taifa ya nchi hiyo mahususi kwa mchezo wa kufuzu michuano ya AFCON inayotarajiwa kuchezwa kesho tarehe 25/03/2021.