Hii ndiyo sababu ya Mama Janeth kutofika Zanzibar

Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli, Mama Janeth Magufuli, akiaga mwili wa mume wake

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema kuwa kutokana na hali ya huzuni aliyokuwa nayo mjane wa Hayati Dkt. Magufuli, Mama Janeth Magufuli, walimuomba asishiriki shughuli ya kuaga mwili wa mume wake inayofanyika Zanzibar hii leo na badala yake atangulie Mwanza watamkuta huko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS