Hii ndiyo sababu ya Mama Janeth kutofika Zanzibar
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema kuwa kutokana na hali ya huzuni aliyokuwa nayo mjane wa Hayati Dkt. Magufuli, Mama Janeth Magufuli, walimuomba asishiriki shughuli ya kuaga mwili wa mume wake inayofanyika Zanzibar hii leo na badala yake atangulie Mwanza watamkuta huko.