CAF yaifurusha Chad kufuzu AFCON

Wachezaji wa Chad wakiwa kwenye moja ya mechi za kufuzu AFCON 2022

Shirikisho la soka Africa 'CAF' limeiondoa taifa la Chad kuendelea kucheza mechi za kufuzu kwa AFCON baadaye mwaka ujao nchini Cameroon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS