Mkataba wa Bilioni 15 kwa Diego Costa

Diego Costa

Klabu ya Benifica ya Ureno imempa ofa ya mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wa zamani wa Atletico Madrid na Chelsea Diego Costa, mkataba wenye thamani ya zaidi ya Bilion 15 kwa pesa za kitanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS