Hii ndiyo idadi ya waliotazama kuagwa kwa Magufuli

Hayati Dkt. John Magufuli, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa karibu ya watu bilioni 4 duniani kote, wametazama kupitia vyombo vya habari zoezi la kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, ambalo kitaifa lilifanyika jana Jijini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS