Stamina afunguka Rais Magufuli kupenda wimbo wake Rais Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii Stamina Msanii wa HipHop hapa nchini Stamina Shorwebwenzi amesema atamkumbuka Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kila kitu hasa kufanya mambo mengi na makubwa ndani ya muda mfupi ya uongozi wake. Read more about Stamina afunguka Rais Magufuli kupenda wimbo wake