Stamina afunguka Rais Magufuli kupenda wimbo wake

Rais Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii Stamina

Msanii wa HipHop hapa nchini Stamina Shorwebwenzi amesema atamkumbuka Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kila kitu hasa kufanya mambo mengi na makubwa ndani ya muda mfupi ya uongozi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS