‘Ndiyo tumeshafeli tena ubingwa'- KMC

Kocha wa KMC Habibu Kondo

Kocha msaidzi wa KMC ya Kinondoni Habibu Kondo amekiri timu yake kwa sasa hawapo tena kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa zaidi ya kuangalia nafasi nne za juu na kujikita zaidi kwenye kombe la shirikisho la Azam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS