‘Ndiyo tumeshafeli tena ubingwa'- KMC Kocha wa KMC Habibu Kondo Kocha msaidzi wa KMC ya Kinondoni Habibu Kondo amekiri timu yake kwa sasa hawapo tena kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa zaidi ya kuangalia nafasi nne za juu na kujikita zaidi kwenye kombe la shirikisho la Azam. Read more about ‘Ndiyo tumeshafeli tena ubingwa'- KMC