Hatma ya Chelsea na Atletico Madrid kujulikana leo

Mshambuliaji wa Chelsea, Olivier Giroud (katikati) akifunga bao la ushindi alipocheza na Atletico Madrid Mchezo uliopita.

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inataraji kuendelea tena saa 5:00 usiku wa leo kwa michezo miwili ya mkondo wa pili hatua ya 16 bora, mabingwa watetezi, Bayern Munich watawakaribisha Lazio huku wakiwa na faida ya mabao 4-1 ilhali Atletico Madrid watachuana na Chelsea wenye faida ya bao 1-0.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS